Rais Samia Akutana na Kuzungumza na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz nchini Uswizi
Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz, Davos nchini Uswizi.
Rais Samia amekutana na Kansela Scholz katika mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani uliofanyika nchini Uswizi.
PART 2: SALMA MUUZA BIRIANI AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA ALIVYOLAZWA JUU ya KABURI USIKU, KIPIGO KIZITO