The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Alivyopiga Picha na Wakuu wa Nchi mbalimbali na Viongozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakuu wa Nchi mbalimbali na Viongozi wengine wakishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Masuala Nishati katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Januari, 2025.

RAIS wa BENKI ya DUNIA AUWASHA MOTO MBELE ya RAIS SAMIA – MJADALA wa MOTO MATUMIZI ya NISHATI….