The House of Favourite Newspapers
gunners X

Rais Samia Amteua, Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari-Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali

0
Mobhare Matinyi

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua, Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari-Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Kabla ya uteuzi huo, Matinyi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam.

Matinyi anajaza nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya Rais Samia kumteua Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Leave A Reply