The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Amteua Thobias Makoba kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Afanya Uteuzi Viongozi Mbalimbali – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Thobias Makoba kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari –
Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali

Kabla ya Uteuzi, Makoba alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Msajili wa Hazina

Makoba anachukua nafasi ya Mobhare Matinyi ambaye amepangiwa majukumu mengine