Rais Samia Apokea Gawio Na Michango Kutoka Kwa Taasisi Na Mashirika Ya Umma (Picha +Video)


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki hafla ya kupokea Gawio na michango kutoka kwa Tasisi na Mashirika ya Umma Ikulu Dar es salaam, leo tarehe 10 Juni, 2025.