Rais Samia Atembelea Barabara Ya Mzunguko Dodoma (Km 112.3) Na Kuzungumza Na Wananchi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akitembelea Barabara ya Mzunguko Dodoma (Km. 112.3) na Kuzungumza na Wananchi, leo tarehe 14 Juni, 2025.


