testiingg
The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Atunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi shahada ya Kijeshi (Picha +Video)

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan akiwapa zawadi baadhi ya Maafisa Wanafunzi wa Kundi la 04/ 20 Shahada ya Sayansi ya Kijeshi ambao walifanya vizuri katika masomo yao kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha tarehe 18 Novemba 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan ametunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi Kundi la 04/20-shahada ya Sayansi ya Kijeshi na Kundi la 70/22 (Regular) kwa Cheo cha Luteni Usu.

Sherehe hizo zimefanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (Tanzania Millitary Academy – TMA) Mkoani Arusha leo Novemba 18, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwatunuku Maafisa Wanafunzi wa Kundi la 04/ 20 Shahada ya Sayansi ya Kijeshi ya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha katika Mahafali ya nne tarehe 18Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimvalisha Bawa Afisa Mwanafunzi wa Urubani Amour Ubwa Mohamed kwa niaba ya Wanafunzi wenzake walohitimu Mafunzo hayo kabla ya Kuwatunuku Kamisheni Maafisa Wanafunzi kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha tarehe 18 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akijiandaa kutoa zawadi kwa baadhi ya Maafisa Wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo mbalimbali kabla ya kutunuku Kamisheni kwa Maafisa hao katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha tarehe 18 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha tarehe 18 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassanakiwa kwenye Sherehe za Mahafali ya Maafisa Wanafunzi wa Kundi la 04/ 20 Shahada ya Sayansi ya Kijeshi ya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha katika Mahafali ya nne tarehe 18 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wanafunzi wa Kundi la 04/20-Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na Kundi la 70/22 (Regular) kwa Cheo cha Luteni Usu katika sherehe zilizofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (Tanzania Millitary Academy – TMA) Mkoani Arusha tarehe 18 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wanafunzi wa Kundi la 04/20-Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na Kundi la 70/22 (Regular) kwa Cheo cha Luteni Usu katika sherehe zilizofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (Tanzania Millitary Academy – TMA) Mkoani Arusha tarehe 18 Novemba 2023.
Gwaride la Heshima likipita kwa mwendo wa haraka mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan kabla ya kutunukiwa Kamisheni kwa Maafisa wanafunzi Kundi la 04/20-shahada ya Sayansi ya Kijeshi na Kundi la 70/22 (Regular) kwa Cheo cha Luteni Usu katika sherehe zilizofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (Tanzania Millitary Academy – TMA) Mkoani Arusha tarehe 18 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na Maafisa wanafunzi Kundi la 04/20-Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na Kundi la 70/22 (Regular) mara baada ya Kuwatunuku Kamisheni katika Sherehe zilizofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na Maafisa wanafunzi Kundi la 04/ 20 Shahada ya Sayansi ya Kijeshi ya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha mara baada ya Sherehe za Mahafali ya nnetarehe 18 Novemba 2023.

 

PICHA NA IKULU

Leave A Reply