Rais Samia Awapisha Makatibu Tawala wa Mikoa na Kamishna wa Dawa za Kulevya Ikulu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Makatibu Tawala Mikoa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Machi, 2023.