testiingg
The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Azindua kwa Mara ya Pili Filamu ya The Royal Tour Jijini Los Angeles

0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uzinduzi mwingine wa awamu ya pili wa filamu ya The Royal Tour uliofanyika Jijini Los Angeles Marekani ambapo uzinduzi huo umehudhuriwa na watu wengi wakiwemo watanzania wanaoishi nchini humo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Ronald Fenty Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty ambaye alifika katika ukumbi wa Paramount Pictures kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour Aprili 22, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na wageni mbalimbali waliofika kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour katika ukumbi wa Paramount, Los Angeles nchini Marekani leo 21 Aprili, 2022.

 

 

Leave A Reply