Rais Samia Azungumza na Wananchi wa Pugu Akielekea Dodoma kwa Usafiri wa SGR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan Akizindua Rasmi Mradi wa Mkakati wa Treni ya Umeme ya SGR Dar es Salaam hadi Dodoma, leo tarehe 1 Agosti, 2024.