Rais Samia, Ruto, Museveni na Ndayishimiye Washiriki Mkutano wa EAC Ngurdoto, Arusha (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Novemba 24, 2023 ameshiriki Mkutano wa Ndani wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Ngurdoto Mkoani Arusha.
Mkutano huo pia wameudhulia Marais wa Jumuiya hiyo.









PICHA NA IKULU

