The House of Favourite Newspapers

Ratiba Ya Ligi Kuu Bara Leo Aprili 17

0

LIGI Kuu Tanzania Bara leo Aprili 17 inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili kwa timu kusaka poini tatu muhimu.

Coastal Union iliyo nafasi ya 11 na pointi 30 v Ruvu Shooting iliyo nafasi ya 8 na pointi 34, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Mtibwa Sugar iliyo nafasi ya 15 na pointi 24 v Kagera Sugar, iliyo nafasi ya 14 na pointi 26, Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 51 v Biashara United, iliyo nafasi ya nne na pointi 40  Uwanja wa Mkapa, Dar.

Leave A Reply