The House of Favourite Newspapers

Ratiba ya Mashindano Miss Tanzania 2018

Mkurugenzi Mwanukuzi wa The Look Company Limited, Basilla Mwanukuzi

Kampuni ya The Look Company Limited chini ya Mkurugenzi, Basilla Mwanukuzi  wasimamizi wapya wa Miss Tanzania baada ya kukabidhiwa na  Kampuni iliyokuwa inayoandaa mashindano hayo ya Lino International Agency LTD chini ya Hashim Lundenga wametangaza ratiba ya mashindano hayo nchini yaliyoanza rasmi tarehe 29 June 2018 na mikoa ya Dodoma na Mbeya. Ikifuatiwa na mikoa mingine itakayo fanyika tarehe 7/7/2018. Baada ya hapo yataanza mashindano ya kanda.

▶Kanda ya nyanda za juu kusini 13/07/2018

▶Kanda ya vyuo 21/07/2018

▶Kanda ya ziwa 28/07/2018

▶Kanda ya Dar 28/07/2018

▶Kanda ya kaskazini 28/07/2018

▶Kanda ya kati 03/08/2018

▶Kanda ya mashariki 04/08/2018

Miss Tanzania ya Lino International Agency LTD Hashim Lundenga

Comments are closed.