The House of Favourite Newspapers
gunners X

RC Chalamila Awaomba Radhi Watumiaji Wa Mwendokasi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewaomba radhi watumiaji wa magari ya Mwendokasi kwa adha wanazokumbana nazo katika kipindi hiki, akieleza kuwa serikali inaendelea kufanyia kazi changamoto zilizopo ili kuboresha huduma hiyo muhimu kwa wakazi wa jiji.

Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV — usisahau ku-like, ku-comment na ku-subscribe ili uendelee kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.

Comments are closed.