MAKONDA, AONGOZA WASANII KUTEMBELEA MRADI WA SGR (PICHA +VIDEO)
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo amewaongoza wasanii na waandishi wa habari kwa ajili ya kutembelea na kujionea namna shughuli za ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme, Standard Gauge Railway (SGR), kutoka Dar es salaam kwenda Morogoro unavyoendelea, ambapo treni hiyo imeondoka leo na wasanii na wanahabari wa vyombo mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii.
Comments are closed.