The House of Favourite Newspapers

RC Makonda Atoa Msaada wa Miguu Bandia kwa Walemavu (Video)

0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amekutana na watu wenye ulemavu wa miguu kutoka jijini Dar es Salaam na mikoa ya jirani, ambapo ameahidi kuwapatia miguu ya bandia lakini ikiwa ni baada ya kila mmoja kufanyiwa vipimo vya kitaalamu.

Makonda amesema anayafanya yote hayo kwa niaba ya rais Magufuli kwani kama si yeye kumchagua na kumpa nafasi ya kuwahudumia wananchi, asingepata nafasi ya kuwasaidia.

===

Usipitwe na Matukio, Download na Install ==> Global Publishers App

TAZAMA VIDEO YA TUKIO HILO

Leave A Reply