The House of Favourite Newspapers
gunners X

RC Mtaka Alivyoupokea Mwenge wa Uhuru Ukitokea Singida

0
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe, Anthony Mtaka akikabidhiwa Mwenge wa Uhuru na Mkuu wa Mkoa Singida Mhe. Bilinith Mahenge jana Julai 25, 2021 Wilayani Bahi, Jijini Dodoma.  
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe, Patrobas Katambi (Mb) akizungumza na Viongozi wa Mkoa wa Dodoma, Singida na wakazi wa wilaya ya Bahi wakati wa mapokezi ya Mbio maalum za Mwenge wa Uhuru mkoani Dodoma.
Kiongozi wa Mbio maalum za Mwenge wa Uhuru LT. Josephine Mwambashi (kulia) akieleza jambo wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Singida kwenda Mkoani Dodoma. Wa pili kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe, Anthony Mtaka.

 

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe, Anthony Mtaka amekabidhiwa Mwenge wa Uhuru na Mkuu wa Mkoa Singida Mhe. Bilinith Mahenge jana Julai 25, 2021 Wilayani Bahi, Jijini Dodoma kwa ajili ya kukimbizwa na kuzindua miradi mbalimbali katika mkoa huo.

 

Leave A Reply