Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh.Ridhiwani Kikwete akimkabidhi msaada wa Baiskeli ya Miguu mitatu (Wheel Chair),Mkazi wa Zomozi-Ubena Mzee Cosmas Alphonce Chongwe ambaye ni mlemavu wa miguu,leo baada ya Mbunge huyo kumaliza kikao chake alichofanya pamoja na Wajumbe wa Mkutano mkuu wa CCM wa Kata ya Ubena-Zomozi,Chalinze.
Mh.
Kuhusu misaada aliyoitoa,Mh Mbunge alisema kuwa ilikuwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi za Ilani ya Uchaguzi na maombi mbalimbali ya wananchi.Katika shughuli hiyo pia Mhe.Mbunge alikutana na wanachama mbalimbali wa vikundi vya Maendeleo katika kata hiyo .
Comments are closed.