The House of Favourite Newspapers
gunners X

ROSE NDAUKA “WASANII Wanaopotosha Jamii Wajifunze” – Video

MSANII na Mfanyabiashara, Rose Ndauka amezindua saloon ambayo itakua inashughulika na kila kitu ikiwemo makae up, kunyoa, kusuka kwa jinsia zote huku akiwaasa wasanii ambao wana fanya vitu ambavyo vinapotosha jamii wajifunze.

Comments are closed.