The House of Favourite Newspapers

ROSTAM WAFUNGA MWAKA KIBABE DAR LIVE ( PICHA + VIDEO)

Wakali wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Roma Mkatoliki pamoja na Stamina wanaounda Kundi la Rostam wakifanya yao kwenue usiku wa Tunafunga Jumla Jumla Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar usiku wa leo.

WAKALI wawili wasioshikika kwenye Muziki wa Hip Hop Bongo, Roma Mkatoliki pamoja na Stamina wanaounda Kundi la Rostam pamoja na mwanadada, Maua Sama wamefanya shoo ya aina yake mkesha wa Mwaka Mpya iloyotambulika kama Tunafunga Jumla Jumla, Desemba 31, 2018 mwaka jana ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar.

Stamina akisalimia mashabiki.
Roma akiongea jambo na Stamina kabla ya kuanza kutoa Shoo.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na Roma na Stamina (hawapo pichani).

PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL

Comments are closed.