Rubani Anusurika Kufa Akidondokea Nyanya za Umeme
RUBANI wa ndege ya kijeshi nchini Ufaransa amenusurika kufa baada ya kudondokea nyaya za umeme wakati ndege hiyo inaanguka.
Taarifa zinasema ndege hiyo ilianguka huko Pluyigner, Ufaransa, na marubani wote wawili waliruka na parachuti ilivyokuwa inashuka karibu na eneo la Brittany.
Rubani mmoja alianguka katika nyanya za umeme akanusurika kuuawa na umeme huo wenye nguvu za volts 250,000 ambapo mwengine alipona.
Comments are closed.