Live: Said Maulid ‘SMG’ Amfungukia Kocha wa Yanga, Usikose Kutazama Spoti Hausi

KIPINDI cha Spoti Hausi leo kitakuwa mubashara na mchezaji wa Yanga wa zamani Said Maulid ‘SMG’ amefunguka historia yake ya mpira na Kocha wa Yanga, George Lwandamina.
#SpotiHausi ni kipindi cha #michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni
Ni hapahapa #GlobalTVOnline Fanya kuingia hapa www.youtube.com/user/uwazi1

