Rais Samia Afanya mazungumzo na Rais wa Msumbiji Daniel Francisco Chapo, Ikulu Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Daniel Francisco Chapo, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Mei, 2025.

