KATIKA SEMINA HII WAHUDHURIAJI WATAFUNDISHWA;
-Jinsi kuuza bidhaa au Huduma yako kutumia mitandao ya kijamii
– Jinsi unavyoweza kutumia tovuti
– Nitajibu swali la ‘kwa nini watu wengi wanashindwa kuuza bidhaa mtandaoni hadi wanaishia kukata tamaa’ na nini cha kufanya ili upate wateja wengi na wa kudumu mtandaoni!
– Jinsi ya kuanza biashara mwaka huu hata kama huna pesa ya mtaji.
2016 your year of BREAKTHROUGH!