The House of Favourite Newspapers

Shilole: Ndoa Siyo Jela, Ukishindwa Sepa

0

MIEZI mich-ache baada ya kupitia mgogoro na mumewe Ashraf Uchebe, Mwanamuziki na mjasiriamali Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amefunguka kuwa ndoa siyo jela kwa hiyo kama kitu ukishindwa unaondoka tu.

 

Akipiga stori na AMANI, Shilole alisema ndoa nyingi zinapitia migogoro mingi.“Si kwangu tu.

 

Ndio nyingi sasa ni kama jela ndio maana nawashauri wanawake wenzangu wakishindwa watoke huko kuliko kunusa kifo,’’ alisema Shilol

Leave A Reply