BAHATI Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili itafikia tamati mwishoni mwa mwezi huu kwa droo kubwa ambayo mshindi wake ataondoka na zawadi ya nyumba yenye thamani ya mamilioni ya shilingi, ikiwa na samani zake zote ndani.
Kuona hivyo leo timu nzima ya Bahati nasibu hiyo ilitia timu Uwanja wa Taifa ambapo kulikuwa kunafanyika mchezo wa Simba Day kati ya Simba na Rayon Sports na kutoa zawadi pamoja na kuwalekeza mashabiki wa soka jinsi ya kujaza kuponi hizo.
PICHA NA ISSA MNALLY | GLOBAL PUBLISHERS