Malaika Band wakikamua shoo ya utangulizi ndani ya Dar Live. Makamuzi yakiendelea….mpiga Drama akifanya yake.
….mpiga gita naye akitoa vionjo vyake.Nyomi waliofika Dar Live kushuhudia shoo ya kufunga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016 Shabiki maarufu wa Yanga, Mama Tunu akicheza jukwaani wakati wa shoo hiyo. Mashabiki wakijiachia jukwaani
…ni full kijiachia kuukaribisha 2016.
PICHA NA DENIS MTIMA/GPL