Shughuli ya MOBETO Kwenye Shindano la Miss Mwanza 2018 – Video
Share
MODEL anayetamba kwa sasa Bongo, Hamisa Mobeto amehudhuria na kupata fursa ya kuwa jaji katika Shindano la Urembo Mkoa wa Mwanza lilofanyika usiku wa kuamkia leo jijini humo.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.