Shuhudia Dogo Janja, Uwoya Walichokifanya Harusi ya Shilole – Picha + Video
STAA wa Muziki wa Mduara Bongo, Zuwena Mohammed maarufu kama Shilole au Shishi Baby usiku wa kuamkia leo amefanya sherehe ya harusi baada ya kufunga ndoa hivi karibuni na mpenzi wake, Uchebe.
Sherehe hiyo iliyofanyika Hekima Garden, Mikocheni jijini Dar es salaa, ilihudhuriwa na mastaa kibao wakiwemo Jux na Vee Money, Dogo Janja na mkewe Uwoya ambao waliacha gumzo ukumbini hapo.
Katika shughuli hiyo, Uwoya aliwamwagia minoti maharusi hapo kama alivyofanya Vee Money.
PICHA NA MUSA MATEJA | GLOBAL TV
Comments are closed.