Shuhudia Red Carpet ya Tuzo za Brit jana (Picha)
Usiku wa kuamkia leo ulikuwa mzuri kwa mastaa kibao wa muziki wa Pop na Hip Hop duniani kutokana na tuzo za dunia za Brit zilizotangazwa katika Ukumbi wa London’s O2 Arena, Uingereza.
Nimekuletea picha ‘red carpet’ katika tuzo hizo ambazo zilifunikwa kwa shoo ya nguvu kutoka kwa Adele, Rihanna na Drake.