The House of Favourite Newspapers
gunners X

Spoti Hausi: Madee Atoa Mkwanja kwa Arsenal Imsajili Aubameyang

SpotiHausi ni kipindi cha #michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni. Leo mgeni wetu ni Rapa Hamad Ally ‘Madee’ ambaye amefunguka mengi kuhusu soka la Bongo na Ulaya sambamba na ushabiki wake kwenye timu zinazocheza Ligi Kuu Tanzania Bara na Uingereza:-

-Madee atafunguka jinsi alivyotimuliwa Jukwaa la Yanga.

-Madee ataelezea ushabiki wake na kwa Niyonzima.

-Madee atafunguka kwanini anamuunga mkono Wenger.

FUATILIA HAPA Global TV Online

Comments are closed.