SPOTI XTRA SASA HALISHIKIKI MITAANI
Kikosi kazi cha idara ya masoko ya Global Publishers jana kiliingia mitaani kulinadi gazeti la Spoti Xtra linalotoka kila siku ya Alhamisi na Jumapili ambapo wasomaji walikuwa wakiligombea gazeti hilo.
Kikosi hicho kilipita maeneo mbalimbali ya jiji la Dar kuanzia maeneo Ferry, Kivukoni, na maeneo ya Kigamboni ikiwemo Kibada, Maweni, Kongowe mpaka Mbagala.
Maeneo yote hayoi wasomaji walionekana kulichangamkia gazeti hilo.
PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL
Comments are closed.