The House of Favourite Newspapers

SPOTI XTRA WAGAWA TIKETI KWA MASHABIKI WA SIMBA LEO

Leo timu ya Spoti Xtra ilitua katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo kulikuwa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa kati ya Simba na Nkana FC ya Zambia na kugawa tiketi kwa mashabiki wa Simba ambao walinunua  gazeti  la Spoti Xtra na kujaza kuponi inayopatikana ukurasa wa pili ndani ya gazeti na walichezesha droo ndogo ili kuwapata washindi ambao walipewa tiketi za kuingia kuona mchezo huo ambao Simba wameibuka naushindiwa mabao 3-1.

Ofisa Mauzo, Charles Mponza akigawa tiketi kwa mshindi ambayeni shabiki wa Simba baada ya kufanikiwa kuibuka mshindi katika droo iliyofanyika leo nje ya uwanja wa Taifa Dar es Salaam
Shaiki wa Simba akionyesha tiketi aliyoshinda baada yakushinda kwenye droo ndogoiliyochezwaleo uwanja wa Taifa
Mashabiki wa Simba wakinunua gazeti la SpotiXtra nawengine wakipewa maelekzokutoka kwa ofisa mauzo wa Global Group
Mashabikiwa Simba wakiendelea kujaza kuponi ndani ya gazeti la Spoti Xtra

Comments are closed.