Rais Samia Akutana na Kuzungumza na Viongozi wa ACT- Wazalendo
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo katika utaratibu wake wa kawaida wa kukutana na Vyama vya Siasa Nchini tarehe 28 Juni, 2022 Ikulu Jijini…
