MSANII wa Bongo Fleva Babalevo, leo asubuhi kupitia ukurasa wake wa Instagram amemsifia msanii mwenzake Chege Chigunda kwa kufungua milango ya mziki mkoani Kigoma.
Siku ya leo mapema asubuhi Baba Levo kupitia ukurasa wake…
MSANII maarufu wa Bongo Fleva ambaye pia ni Official Chawa wa Diamond Platnumz, Baba Levo amesema kuwa licha ya kujiondoa ndani ya lebo ya WCB, msanii Rayvanny bado hajailipa lebo hiyo pesa zake kwa mujibu wa mkataba ili awe huru…
BABA Levo au Chawa Promax wa Diamond Platnumz; ni msanii na mtangazaji wa Wasafi ambaye hajabaki nyuma kuzungumzia suala la msanii Rayvanny kuondoka Lebo ya WCB Wasafi na kuanzisha yake binafsi ya Next Level Music (NLM).…
CHAWA Pro Max, yeye hupenda kujiita Fundi Manyumba ‘Baba Levo’ amesema ana mpango wa kwenda nchini Uturuki kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa pua na kitambi kwani amekuwa akichekwa mara nyingi kutokana na muonekano wake huo.…
BABA levo au Mtaalam Fundi Manyumba; ni msanii wa Bongo Fleva, komediani na mtangazaji wa Wasafi ambaye amemchamba msanii Harmonize kwa mara nyingine na kusema kwamba mkurugenzi huyo wa Konde Music Worldwide hana uwezo hata chembe wa…
NI headlines za mtangazaji kutoka kwa mwanamuziki Baba Levo, ambae amekiri kuwa katika mwaka 2021 katika nyimbo za #Amapiano wimbo wa #Teacher' ulioimbwa na Harmonize ulikua wimbo mkali zaidi wa #Amapiano nchini Tanzania.
…
FAMILIA za mastaa wawili Bongo Profesa Jay na Baba Levo zimegubikwa na furaha baada ya matokeo ya kidato cha nne kutoka na watoto wao kung’ara kwa kupata daraja la kwanza.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Profesa Jay…
KOMEDIANI ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Clayton Chipando almaarufu Baba Levo anasema kuwa, endapo ngoma yake ya Hellow haitatrendi, basi watu wamuue.
Alhamisi iliyopita, Baba Levo alisema kuwa, anatarajia kuachia ngoma hiyo mpya.…
MWEZI mmoja uliopita, Mbunge wa Geita Mjini, Joseph Kasheku almaarufu Msukuma alitunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Siasa na Uongozi (Honorus Causa in Politics and Leadership) na Chuo cha Academy of Universal Global Peace…
Baada ya stori na video kusambaa mitandaoni zikionyesha shoo ya KMsanii wa Bongo Fleva, Baba Levo kubuma kule Kigoma huku watu waliohudhuria wakiwa wachache tofauti na ambavyo ilitarajiwa, msanii huyo amemkatia simu mtangazaji aliyetaka…
BABA Levo ni komediani na mmoja wa wasanii wa Bongo Fleva waliotafuta njia ya tofauti ya kutoka kisanii na kujulikana sehemu mbalimbali.
Baba Levo amepita kwenye changamoto ya kuambiwa maneno yaleyale ya kukatisha tamaa, lakini…
KIMEUMANA! Ndivyo unavyoweza kusema kuelekea Dabi ya Kariakoo kati ya timu pendwa Bongo za Simba na Yanga hiyo leo katika mchezo wa Ngao ya Hisani ambapo vita ya mastaa mashabiki wa timu hizo, imeibuka upya.
Mchezo huo…
Msanii Baba Levo amemkatalia Rayvanny kuoa haraka kama mtu aliyechanganyikwa baada ya Rayvanny kuweka hisia zake za kufanikisha jambo hilo siku za hivi karibuni.
Kupitia Insta Story ya Rayvanny amezua gumzo baada ya…
Msanii wa vichekesho na muziki, Clayton Chipando maarufu Baba Levo amefanya balaa usiku wa leo Juni 05, mkoani Kigoma kwa kupiga shoo ya nguvu kwenye Tamasha lake la Nandy Festival.
Katika tamasha lake hilo Nandy,…
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limempiga faini ya Tsh milioni moja msanii wa Bongo Fleva, Baba Levo kwa kusambaza wimbo bila kuupeleka kuhakikiwa na Baraza hilo kwa mujibu wa kanuni.
Msanii huyo ameeleza hayo leo Ijumaa…
WASANII wa Bongo Fleva, Baba Levo na mwenzake, Rayvanny tayari wametoka katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam (Sentro) baada ya kuhojiwa kufuatia kusambazwa kwa picha jongefu (video) na chatting zinazodaiwa kuwa ni za msanii…
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Baba levo ameripoti katika ofisi za Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kufuatia kusambazwa kwa picha jongefu (video) na chatting zinazodaiwa kuwa ni za msanii mwenzao Harmonize na mtoto wa Kajala, Paula.…
MSANII kutoka kiwanda cha Bongo Fleva, Clayton Chiponda ‘Baba Levo’amefunguka sakata la Baba Diamond.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️…
MSANII kutoka kiwanda cha Bongo Fleva, Clayton Chiponda ‘Baba Levo’ amemwaga shukrani kwa msanii toka pande za Wasafi Classic Baby (WCB), Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ na kusema kuwa ndiye msanii aliyemrudisha kwenye gemu baada ya kukaa…
Hatimaye rafiki wa karibu wa Msanii wa Bongo Fleva, Peter Msechu, Baba Levo ametoa sababu za kutohudhuria harusi ya Rafiki yake huyo ambayo ilifanyika January 25, mwaka huu jijini Dar es salaam.
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva na diwani wa kata ya Mwanga kaskazini Baba Levo amefunguka na kuonyeshwa kukerwa na baadhi ya vitu vilivyotokea mkoani Kigoma katika show ya Diamond ya kuazimisha miaka 10 yake kwenye tasnia.
…
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kigoma imemuongezea hukumu Diwani wa Kata ya Mwanga (ACT-Wazalendo), Clayton Chipando 'Baba Levo', kutoka miezi mitano aliyopewa awali hadi mwaka mmoja. Baba Levo alikata rufaa kupinga adhabu ya awali kwa kosa la…
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mwanga Kaskazini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Crayton Chipando maarufu kwa jina la Baba Levo ameachiwa huru na mahakama ya hakimu mkazi Kigoma leo Jumatano, Septemba 19,…
DIWANI wa Kata ya Mwanga - Kaskazini katika Jimbo la Kigoma-Mjini kwa leseni ya ACT-Wazalendo ambaye ni msanii wa Bongo Fleva na vichekesho, Clayton Revocatus ‘Baba Levo’, amefunguka kuwa, nafasi hiyo anayoitumikia ya udiwani haina…