Simba Yashindwa Kutinga Nusu Fainali Licha ya Ushindi wa 3-0
TIMU ya Simba licha ya ushindi Ilioupata wa mabao 3 – 0, dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini bado umeshindwa kuivusha kwenda hatua ya Nusu fainali baada ya kutoka kwa jumla ya mabao 5-4, mechi iliyochezwa leo Mei 22, 2021 kwenye…
