Wahamiaji Takribani 300 Wapotea Baharini wakitokea Senegal kuelekea Uhispania
Takriban watu 300 waliokuwa wakisafiri kwa boti tatu za wahamiaji kutoka Senegal kwenda visiwa vya Canary nchini Uhispania hawajulikani walipo, limesema shirika la misaada ya wahamiaji la Walking Borders siku ya jumapili.
…
