The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

carlinhos

Carlinhos Arejea, Nabi Amuita Fasta

KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amemuunganisha kwenye kikosi kitakachoenda Shinyanga, kiungo wake raia wa Angola, Carlos Carlinhos tayari kwa kupambana na Mwadui FC, kwenye mchezo wa kuwania kutinga hatua ya nusu…

Carlinhos Anaitaka Simba Tu

PAMOJA na kiungo mshambuliaji wa Yanga raia wa Angola, Carlos Sténio Fernandes Guimarães do Carmo maarufu Carlinhos, kuumia na kutolewa uwanjani juzi Ijumaa kwenye mechi dhidi ya Prisons, lakini imebainika kwamba mwamba huyo anawataka…

Carlinhos Amtibulia Kaze Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mrundi Cedric Kaze amesema kuwa kadi nyekundu aliyopewa kiungo wake mshambuliaji Carlos Fernandez ‘Carlinhos’ imetibua mipango yake katika michezo ijayo ya Ligi Kuu Bara na Kombe la FA. Kiungo huyo…

Kaze: Carlinhos Atanipa Nguvu

CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuwa uwezo wa kiungo wake, raia wa Angola, Carlos Carlinhos, ni wa hali ya juu,  jambo ambalo litampa upana wa kupanga kikosi namna atakavyohitaji. Kwa sasa Yanga ipo kwenye maandalizi…

Wema, Carlinhos Imeisha Hiyo!

I MEISHA hiyo! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kufahamika kwamba, picha za kimahaba zinazosambaa za staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na kiungo nyota kutoka Angola, Carlos Guimaraes do Carmo Carlinhos, anayeichezea klabu ya…

Wema Atikisa Ndoa ya Carlinhos

STAA wa filamu nchini, Wema Sepetu amedaiwa kuitikisa ndoa ya mchezaji wa timu Yanga, Carlos Carlinhos ambaye ni raia wa Angola, baada ya mkewe Vanessa kutaka kuambiwa ukweli kuhusu picha aliyopiga Wema na mchezaji huyo, kusambaa katika…