Carlo Ancelotti Atimuliwa Bayern Munich
Kocha wa Bayern Munich, Carlo Ancelotti amefutwa kazi jana kufuatia mwanzo mgumu wa msimu wa 2017/18 yakiwemo matokeo ya juzi usiku ambapo timu hiyo ilikubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa PSG anayoichezea Neymar Jr.
Mkurugenzi…
