Cuba Kutokuwa na Kiongozi Anayeitwa Castro
Baada ya miaka 62, Taifa la Cuba litaamka Jumatatu bila kuwa na Kiongozi wa Nchi anayeitwa Castro. Raúl Castro anatarajiwa kuachia Madaraka kama Katibu Mkuu wa Chama, cheo kinachotajwa kuwa na nguvu kuliko cha Rais.
…
