Wabunge CCM Wadaiwa Kupanga kuvuruga Mkutano Mkuu Dodoma (+video) Mkutano Leo
MBUNGE Hussein Bashe wa Nzega Mjini na Joseph Kasheku wa Geita wakiwa na aliyewahi kuwa mbunge wa Kisarawe, Adam Malima wamehojiwa polisi na kisha kuachiwa baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kupanga njama za kuvuruga mkutano mkuu wa CCM…
