RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassana ameagiza miradi 49 iliyokutwa na kasoro wakati wa kukimbiza mwenge ichunguzwe na watu wote waliohusika wachukuliwe hatua mara moja.
Mhe. Samia ametoa…
TAASISI ya Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imemrejesha kujenga upya barabara ya Makurugusi kwenda Musasa wilayani Chato yenye urefu wa Kilometa 1.5 kwa gharama zake baada ya mkandarasi huyo wa kampuni ya M/S Runazi General…
KIKAO maalumu cha ushauri cha Mkoa wa Geita, kimeridhia kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Chato na kupendekeza mkoa huo mpya kuwa na wilaya tano, huku mkoa mama wa Geita ukibaki na wilaya tatu.
Kikao pia kimeridhia hifadhi ya…
Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya Taidfa ya Kisiwa cha Rubondo kuchukuliwa na mkoa mpya wa Chato unaotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni wakidai kuwa…
Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa, ambao tayari umeshaanza, uendelee na serikali itajiridhisha kama vigezo vyote vinavyotakiwa vimetimia.
"Nina…
jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Magazeti pendwa unaweza yasoma BURE kupitia App ya “Global APP” inayopatikana hapa
iOS 👉 …
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo Alhamisi, Machi 25, 2021, ataongoza wakazi wa Chato na wananchi wa Mikoa ya jirani kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John…
Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Gazet la AMANI linapatikana BURE kupitia App ya Global APP inayopatikana hapa
iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx…
KAMPUNI ya Global Publishers imesikitishwa na taarifa iliyotolewa jana Jumatatu Machi 23, 2021 na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel kuwa taarifa tulizozichapisha kwenye mitandao yetu ya kijamii, zikimnukuu yeye kuhusu…
RC Geita amehitimisha ziara yake Chato kwa kushiriki kwenye kuchimba Msingi wa madarasa 4 na ofisi 2 kwenye ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kitela ambayo wananchi wameamua kuijenga ili kupunguza msongamano shule ya Sekondari Chato yenye…
RAIS Dkt John Magufuli, leo Januari 27, 2021 anazindua shamba la miti lililopo wilayani Chato mkoani Geita...
Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️…
RAIS John Magufuli, leo Januari 25, 2021, amempokea Rais wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde, aliyekuja nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja, Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita.
TAZAMA VIDEO YA TUKIO ZIMA
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi amesema kuwa kesho Januari, 25 Tanzania inatarajia kupokea ugeni wa Rais wa Ethiopia Bi. Sahle-Work Zewde kwa ziara ya kikazi ya siku moja Wilayani…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Mkewe Mama Janeth Magufuli leo Januari 17, 2021 wameungana na Waumini wa Kanisa Katoliki la Bikira Maria, Parokia ya Chato Mkoani Geita kusali Misa Takatifu…
RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kutanguliza maslahi ya nchi mbele na kuhakikisha amani inaendelea ili wananchi waendelee na shughuli zao na serikali itekelezE miradi ya maendeleo.
amesema hayo leo…
CHINA itatoa 'yen' milioni moja ambazo ni sawa na takriban sh. milioni 358 za Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa Chuo cha Ufundi na Stadi (VETA) huko Chato mkoani Geita.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Mambo ya Nje ya…
Mapokezi ya Waziri wa Mambo ya nje wa China, WANG YI, katika Uwanja wa Chato atakuwa nchini kwa ziara ya siku mbili kuanzia leo tarehe 7 January 2021.
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (CCM), Dkt. John Magufuli amewaponda baadhi ya viongozi na wagombea wanaotoka vyama vya upinzani ambao wamekuwa wakiponda ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato, mkoani Geita ambako ndiko…
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa kazi ya urais si nyepesi, kwani ana uzoefu wa miaka 25 katika siasa na amejifunza mengi kwa kipindi hicho huku akiyasoma na kuyatambua…
KATIKA hali iliyowashangaza wengi, watia nia wapatao 55 wamejitokeza kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili wapitishwe kugombea ubunge Jimbo la Chato.
Jimbo la Chato ndiko nyumbani kwa Rais John Magufuli ambaye…
MWANAFUNZI wa kidato cha nne ambaye pia ni shahidi wa kwanza kwenye kesi ya ubakaji inayomkabili Boniface Malila (20), amedai kumtambua mshtakiwa huyo kuwa ndiye aliyempatia ujauzito.
Mshtakiwa huyo, mkazi wa kijiji cha…
SERIKALI ya Tanzania imesema ina mpango wa kujenga Hospitali ya Kanda ya Ziwa wilayani Chato mkoani Geita itakayohudumia wakazi wote waishio mikoa ya kanda hiyo.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Mkoani Geita kuanza mara moja upanuzi wa majengo ya Hospitali ya Wilaya ya Chato kwa kuwa Serikali imeshatoa…
SERIKALI imesema imedhamiria kujenga uwanja mkubwa wa mpira wa miguu wilayani Chato, mkoani Geita ambako ni nyumbani kwa Rais John Magufuli, ili kukuza sekta ya michezo nchini na kuvutia watalii na wawekezaji.
Uwanja huo…
RAIS John Magufuli, leo Julai 05, amempokea Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ambaye amewasili nchini kwa ziara binafsi ya siku mbili.
Rais Kenyatta amepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita ambako Magufuli yupo nyumbani…
NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, amemfukuza msimamizi wa ujenzi wa bandari ya Nyemirembe wilayani Chato mkoani Geita kwa kukosa…
Mbunge wa viti Maalum Shinyanga, Salome Makamba, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano amesema Bunge halikupitisha bajeti iliyotumika kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato ambao umegharimu takribani Tsh. Bilioni 42.…
MKALI wa Bongo Fleva, Abdu Kiba anatarajiwa kufanya bonge moja la shoo katika hafla ya uzinduzi wa Hoteli Mpya ya JS iliyopo Chato mkoani Geita, leo Jumatatu Desemba 25, katika Sikukuu ya Krismasi.
Katik shoo hiyo, Abdu Kiba…
IMEFIKA! Baada ya kusubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi, hatimaye wakali wawili wasioshikika kunako gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mamaa Majanga’ na Sharif Thabeet ‘Darassa’ kesho Jumamosi (Agosti 5) wanatarajiwa…
KIMENUKA! Mkali wa miondoko ya Mduara Bongo, Snura Mushi ‘Mamaa Majanga’ na amefunguka kuwa,Jumamosi hii (Agosti 5) atakichafua katika uzinduzi wa hoteli ba’kubwa ya JS Motel iliopo Chato mkoani Geita.
Snura Akinukisha Dar…
WAKALI wasioshikika kunako gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Sharif Thabeet ‘Darassa’ Jumamosi wiki hii (Agosti 5) wanatarajiwa kuzindua hoteli ba’kubwa ijulikanayo kama JS Motel iliopo Chato Mjini…