The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Chaz Baba

NDOA YA CHAZ YAPIGWA ZENGWE

UMBEYA ni suna na pia unaongeza vitamini mwilini! Siku moja baada ya kufungwa, ndoa ya mwanamuziki mahiri wa muziki wa Dansi Bongo, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ ambaye kwa sasa anaitumikia Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’,…

MASTAA WAIFAGILIA TWANGA PEPETA

MASTAA mbalimbali Bongo, hivi karibuni wameifagilia Bendi ya The African Starz ‘Twanga Pepeta’ kutokana na juhudi zake za kurudisha msisimko wa Muziki wa Dansi nchini kama ilivyokuwa hapo awali. Akifungua duru juu ya kukunwa na bendi…

CHAZ BABA MKEWE KIMENUKA

UBUYU siku zote hauhitaji kijiwe maalumu cha kuumung’unya popote unaumung’unya tu iwe barabarani, kiwanjani hata kwenye gari twende tu! Mwanamuziki ambaye alikuwa memba wa bendi maarufu ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’, amedaiwa…

Chaz Baba Aanika Kilichompoteza

BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana katika steji ya Bendi ya Mashujaa aliyokuwa akiifanyia kazi, mwanamuziki Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ ameeleza sababu za kupotea kwake. Chaz Baba alisema alikaa kimya kwenye steji…