CHEMICAL AWACHANA WANAOMDISS KUVAA GAUNI
RAPA anayekimbiza kunako muziki wa Hip Hop Bongo, Claudia Lubao ‘Chemical’ amewachana wanaomdiss kuonekana amevaa gauni kuwa wakumbuke yeye ni mtoto wa kike na ana haki ya kuvaa vazi hilo.
Akichonga na Over Ze Weekend,…
