Msanii Bongo Muvi Akatwa Mguu
USIOMBE yakukute, ndivyo unavyoweza kutafsiri mapito ya msanii wa Bongo Muvi, Martin Deus ‘Chiba Kismati’ (32), baada ya kukatwa mguu kutokana na kuathiriwa na ugonjwa wa sikoseli.
Msanii huyo ambaye ni mkazi wa Kigogo-Luhanga jijini…
