Polisi Yamsaka Raia wa China Zheng Lingyao Adaiwa Kuua Mtaa wa Kalenga, Ilala Dar
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamtafuta mtuhumiwa Zheng Lingyao (42), raia wa China mkazi wa Dar es salaam anayetuhumiwa kumuua Fu Nannan, (26), ambaye pia ni raia wa China.
Kamanda wa Polisi wa…
