Diwani Ataka Wauza Chipsi Watozwe Ushuru
Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Morogoro imetupilia mbali hoja ambayo imewasilishwa na mmoja wa madiwani hao kuwa wauza chipsi nao wawe wanalipa ushuru ili kuongeza ukusanyaji wa mapato kwenye Manispaa hiyo.
Madiwani hao wamesema…
