Chongo – 27
Ilipoishia wiki iliyopita
Katika watu waliokuwa ndani ya baa hiyo, akina Bata hawakuweza hata kumhisi kijana anayemsubiri Mwani, na walipomuona akija kwa madaha, wakajifanya kutokuwa na habari naye. Mtu mgeni asingeweza kujua kama…
