Mwanafunzi Afariki, Watatu Walazwa Baada ya Choo Kuporomoka
MWANAFUNZI mmoja alifariki na wengine watatu walilazwa hospitalini baada ya choo cha shule ya upili ya Nyabondo kuporomoka. Tukio hilo lilitokea majira ya saa kumi alasiri katika eneo la Nyakach, kaunti ya Kisumu.
Wanafunzi…
