Mbeya: Mwanafunzi wa Sekondari Akamatwa na Kete za Dawa za Kulevya
MBEYA: Wakati vita dhidi ya madawa ya kulevya ikiendelea Dar, imetua pia jijini Mbeya baada ya polisi kutangaza kumkamata mwanafunzi anayesoma sekondari akiwa na kete za cocaine eneo la Mbalizi jijini humo.
Kamanda wa polisi mkoa,…
